- Видео 30 360
- Просмотров 421 458 456
Simulizi Na Sauti
Кения
Добавлен 31 май 2017
Welcome to Simulizi na Sauti, the online content company that is taking Africa by storm! Established in May 31, 2017 by Fredrick Bundala, a renowned media personality in East Africa, our mission is to deliver high-quality, engaging content to our growing audience.
Simulizi na Sauti is one of the fastest-growing RUclips channels in Africa. Our content spans a wide range of topics, including news, entertainment, lifestyle, and more, and is presented by a team of professional journalists and presenters.
At Simulizi na Sauti, we pride ourselves on our analytical and trustworthy news coverage, and we are committed to delivering the latest, most accurate information to our viewers.
Join the millions of viewers who have made Simulizi na Sauti the fifth most-viewed RUclips channel in Tanzania (Media category), and experience the best in online content. Don't forget to hit the subscribe button and stay up-to-date with all our latest videos!
Simulizi na Sauti is one of the fastest-growing RUclips channels in Africa. Our content spans a wide range of topics, including news, entertainment, lifestyle, and more, and is presented by a team of professional journalists and presenters.
At Simulizi na Sauti, we pride ourselves on our analytical and trustworthy news coverage, and we are committed to delivering the latest, most accurate information to our viewers.
Join the millions of viewers who have made Simulizi na Sauti the fifth most-viewed RUclips channel in Tanzania (Media category), and experience the best in online content. Don't forget to hit the subscribe button and stay up-to-date with all our latest videos!
Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) lamwagwa kudhibiti maandamano
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Просмотров: 2 973
Видео
BIDEN aiteua rasmi KENYA kama 'mshirika mkuu asiye mwanachama wa NATO'
Просмотров 2,8 тыс.12 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Rais Ruto atoa ONYO kali kwa Waandamanaji, awaita 'Wahalifu' na 'Wahaini' watakaoshughulikiwa
Просмотров 17 тыс.12 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
RECAP: Maajabu ya KOMASAVA ya DIAMOND na Utawala Mpya Kimataifa, Yeye anasema 'Wamejaa kwenye Mfumo'
Просмотров 3,6 тыс.13 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Serikali yatishia kukifungia kituo cha runinga cha KTN kisa Maandamano, chajibu 'Hatutishiki'
Просмотров 4 тыс.16 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Mwanzilishi wa Wikileaks Julian Assange aachiwa huru baada ya kukaa jela miaka 5
Просмотров 4,4 тыс.17 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Korea Kaskazini imewezaje kujenga mijengo bora hivi! Wanapewa bure! Jionee Mapinduzi ya Kim Jong UN
Просмотров 19 тыс.18 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
VIDEO: Haya ni matukio muhimu yaliyojiri katika harusi ya kitamaduni ya Davido na mkewe Chioma NG
Просмотров 2,7 тыс.18 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
ZAHIR ZORRO aimwagia sifa KOMASAVA ya DIAMOND, amuelezea kuwa ni Fahari ya Tanzania, amshauri haya
Просмотров 3,2 тыс.18 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Shamba la Kanye West lenye ukubwa wa hekari 300 lazidi kuwa kwenye hali mbaya baada ya kutelekezwa
Просмотров 2,7 тыс.19 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Khaligraph, otile Brown, Willy Paul na mastaa wengine walivyoungana na Wananchi kweye Maandamano
Просмотров 5 тыс.19 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
KENYA: Waandamanaji wavamia Bunge, wavunja vitu, wachukua vyakula Jikoni, Mahakama yawasaidia maji
Просмотров 12 тыс.19 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
SENSEMA ya RAYVANNY na HARMONIZE imegoma kuachia nafasi huko YouTube, yaendelea kuwa Kinara
Просмотров 3,7 тыс.21 час назад
#harmonize #rayvanny #sensema Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Kenya: Mtangazaji Janet Mbugua alivyoshiriki kwenye Maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha
Просмотров 2,8 тыс.22 часа назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
JAKAYA KIKWETE azungumza na WASANII wa Bongo, awakumbusha kufanya jambo hili kubwa
Просмотров 1,5 тыс.22 часа назад
#jakayakikwete Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Zuchu kuachia album yake hivi karibuni? aweka ujumbe huu
Просмотров 1,1 тыс.22 часа назад
Zuchu kuachia album yake hivi karibuni? aweka ujumbe huu
Vituko vya mchekeshaji Tin White na Masantula kwa Ringo kabla ya harusi yake kufanyika
Просмотров 2 тыс.23 часа назад
Vituko vya mchekeshaji Tin White na Masantula kwa Ringo kabla ya harusi yake kufanyika
Roma awachana waliombeza Diamond na mafanikio yake, "mwana kajipata mpeni heshima yake"
Просмотров 10 тыс.23 часа назад
Roma awachana waliombeza Diamond na mafanikio yake, "mwana kajipata mpeni heshima yake"
Utapenda Unyama wa DIAMOND na ZUCHU kwenye Fashion, Tazama picha hizi
Просмотров 4,9 тыс.23 часа назад
Utapenda Unyama wa DIAMOND na ZUCHU kwenye Fashion, Tazama picha hizi
KENYA: Afanya maandamano kwa kupanda juu ya Magari ya Polisi akiwa na bango la kupinga FINCE BILL
Просмотров 13 тыс.23 часа назад
KENYA: Afanya maandamano kwa kupanda juu ya Magari ya Polisi akiwa na bango la kupinga FINCE BILL
ALIKIBA, NANDY, BILLNASS na MAUA SAMA waonekana AFRIKA KUSINI pamoja, kuna nini kikubwa kinakuja?
Просмотров 5 тыс.23 часа назад
ALIKIBA, NANDY, BILLNASS na MAUA SAMA waonekana AFRIKA KUSINI pamoja, kuna nini kikubwa kinakuja?
VIDEO: Hapa ndipo Harusi ya Davido na Chioma itafanyika leo, tazama mandhari na mapambo ya kuvutia
Просмотров 1,9 тыс.День назад
VIDEO: Hapa ndipo Harusi ya Davido na Chioma itafanyika leo, tazama mandhari na mapambo ya kuvutia
Mshukiwa mauaji ya 2 Pac kuachiwa kwa dhamana ya Bilioni mbili, atakuwa chini ya uangalizi Nyumbani
Просмотров 1,1 тыс.День назад
Mshukiwa mauaji ya 2 Pac kuachiwa kwa dhamana ya Bilioni mbili, atakuwa chini ya uangalizi Nyumbani
Utacheka Snoop Dogg alivyogeuka Mwanariadha, akimbia mita 200 tu majaribio ya Olyimpic Ufaransa
Просмотров 1,7 тыс.День назад
Utacheka Snoop Dogg alivyogeuka Mwanariadha, akimbia mita 200 tu majaribio ya Olyimpic Ufaransa
UWOYA atamani siku zingerudi nyuma asifanye aliyokuwa anayafanya, ni baada ya kuokoka,atoa neno hili
Просмотров 2 тыс.День назад
UWOYA atamani siku zingerudi nyuma asifanye aliyokuwa anayafanya, ni baada ya kuokoka,atoa neno hili
MASANJA awajibu waliouliza kuhusu Katibu baada ya kuweka picha hii akiwa na watoto wake na mkewe
Просмотров 6 тыс.День назад
MASANJA awajibu waliouliza kuhusu Katibu baada ya kuweka picha hii akiwa na watoto wake na mkewe
Nandy asimulia story ya msanii aliyetaka kumbania THT, alivyokutana na Zuchu kwenye shindano Nigeria
Просмотров 4,8 тыс.День назад
Nandy asimulia story ya msanii aliyetaka kumbania THT, alivyokutana na Zuchu kwenye shindano Nigeria
Chombo cha China kilichoenda upande wa mbali mwezini charudi na sampuli ya udongo
Просмотров 3,9 тыс.День назад
Chombo cha China kilichoenda upande wa mbali mwezini charudi na sampuli ya udongo
URUSI yatishia kuijibu MAREKANI kwa kuituhumu kuhusika na shambulio la CRIMEA, yamuita balozi wake
Просмотров 12 тыс.6 часов назад
URUSI yatishia kuijibu MAREKANI kwa kuituhumu kuhusika na shambulio la CRIMEA, yamuita balozi wake
Diamond awachana Wanaijeria ‘Wamejaa kwenye mfumo, hawawezi kufanya huu muziki’
Просмотров 17 тыс.6 часов назад
Diamond awachana Wanaijeria ‘Wamejaa kwenye mfumo, hawawezi kufanya huu muziki’
Africa aikombolew na vibaraka Hawa one day yes,izi ni laaa. Za kina Jacob juma,ubaya ukizid macha huw kipofu
You spoke rubish zakayo sarrender the office to GEN Z
Safiii sana
Huyu pia akasalimiwe kidogo
Mr president listen to people these criminals put you into power
Kenya wameruhus ushoga lzm wakubaliwe km tz tyuu
Wamnyooshe,, unahutubia kwa kiingereza ukiwa Afrika Mashariki
Ruto ana akili sana utaona maendeleo ya kenya katika afrika
Naona urusi wanacheka tyuh
Dj sma habari za geopolitics Drc-rwanda please
Mpaka watu wamufe ndio utoke
Umezoa kuuwa so we are coming for you
We don't want to listen to nonsense . Innocent Kenyans fighting for their rights you can afford to call them criminals.Kenyans are not criminals.
Kazi ipo Kenya 😢😢
We don't want to listen to nonsense
Hii kiburi yake itamueka pabaya Kenya is bigger than him.The voice of the people should be heard .💪
Ruto hakubaliki tena Ili usalama wa nchi yake uwepo suluhu ni ujiuzulu Ili pawe na utulivu.
Msomali ni msomali tu
Safari yako tiari bado siti samba kibaraka unaleta ukoloni
UDA leadership should be accountable for the chaos.If they could have listened to the protesters before this mess could have happened.
Ww hiyo kibuli yako itakutoa mamulakani
UDA leadership should be accountable for the chaos.
Huku😂kwetu jeshi anatunga album nzima
Simulimchagua wenyewe
Pole sana
Ruto wakati yupo marekani ukimtusi.putin raisi wadunia.mashoga wamekudanganya umesaini ushoga,usagaji mungu anakuona kitumbua kinaingia mchanga.
Huyu binti ni wanaume 100 mia ww dar
Wewe umeyatimba mwenyewe na sela zako za ulaya
Ukweli wanataka utumike Africa tu kuwaita viongozi wenye uchungu na Nchi zao Madikteta shenzi type
Uyu sio binafamu jamani aki hana hata hofu
Ruto hutatuongoza ngoja utanona mbwa wewe
Sikiliza wananchi wanataka nini vitisho havito saidia. Ndo fujo zitazidi kwa hayo mavitisho
Lakini sisi tuna demokrasia😅😅
Ruto must go, vitusho havisaidii kitu watu wameamua safari hii.
Roto plz hawa vijana c Raila wako wengi Sana na wakiamua utawauwa muchoke na watakungowa mwishoe so chunga sana
Hao nao amewalipa??wabongo acheni uduanzi😆😆
He will regret his actions. But by then, it will be too late for him to fix things. Pride and arrogance has blinded both his eyes and mind of reasoning. Ruto is a disgrace to Africa not only Kenya
You killed innocent unarmed kenyans..this time you will go down alone Infront of the all world..we vnt have a criminal president
Hacha ujinga unatisia wakenya na uko apo juu ya kura yangu cool down dugu
Hali ni mbay kwa mtazamo wa nchi za magharibi
MamA mboga has turned to criminals
Ruto must go,hata aseme nini
Hustlers,si n watu wa bodaboda na mama mboga - wakakusikiza,ukaomba 100days ukapewa na zkaisha hehehe😂
Hii sio amani tena 😢
🤣🤣🤣🤣mkoko umealika maua kiwaramaba si mlisema n Rao anapenda maandamano?
Isili imkuwa ya wasomalia ruto akiwa wapi na mnasema mko na president badala ya ifunguwe ni president wa somali anakuja kuifunguwa kube kenya imsaa usa😭😭
Yuafikiria kenya n yake Ama babake😅😅😅 sis tuko tayr ruto unajifnya kiburi sio
Kwishaaa😂😂😂
Watu hawakupendi wewe
Ruto stop threating the gen z they will put you down dont joke with this generation they will.come for you to state house step down step down zakayo