Simulizi Na Sauti
Simulizi Na Sauti
  • Видео 30 360
  • Просмотров 421 458 456

Видео

BIDEN aiteua rasmi KENYA kama 'mshirika mkuu asiye mwanachama wa NATO'
Просмотров 2,8 тыс.12 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Rais Ruto atoa ONYO kali kwa Waandamanaji, awaita 'Wahalifu' na 'Wahaini' watakaoshughulikiwa
Просмотров 17 тыс.12 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
RECAP: Maajabu ya KOMASAVA ya DIAMOND na Utawala Mpya Kimataifa, Yeye anasema 'Wamejaa kwenye Mfumo'
Просмотров 3,6 тыс.13 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Serikali yatishia kukifungia kituo cha runinga cha KTN kisa Maandamano, chajibu 'Hatutishiki'
Просмотров 4 тыс.16 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Mwanzilishi wa Wikileaks Julian Assange aachiwa huru baada ya kukaa jela miaka 5
Просмотров 4,4 тыс.17 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Korea Kaskazini imewezaje kujenga mijengo bora hivi! Wanapewa bure! Jionee Mapinduzi ya Kim Jong UN
Просмотров 19 тыс.18 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
VIDEO: Haya ni matukio muhimu yaliyojiri katika harusi ya kitamaduni ya Davido na mkewe Chioma NG
Просмотров 2,7 тыс.18 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
ZAHIR ZORRO aimwagia sifa KOMASAVA ya DIAMOND, amuelezea kuwa ni Fahari ya Tanzania, amshauri haya
Просмотров 3,2 тыс.18 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Shamba la Kanye West lenye ukubwa wa hekari 300 lazidi kuwa kwenye hali mbaya baada ya kutelekezwa
Просмотров 2,7 тыс.19 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Khaligraph, otile Brown, Willy Paul na mastaa wengine walivyoungana na Wananchi kweye Maandamano
Просмотров 5 тыс.19 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
KENYA: Waandamanaji wavamia Bunge, wavunja vitu, wachukua vyakula Jikoni, Mahakama yawasaidia maji
Просмотров 12 тыс.19 часов назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
SENSEMA ya RAYVANNY na HARMONIZE imegoma kuachia nafasi huko YouTube, yaendelea kuwa Kinara
Просмотров 3,7 тыс.21 час назад
#harmonize #rayvanny #sensema Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Kenya: Mtangazaji Janet Mbugua alivyoshiriki kwenye Maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha
Просмотров 2,8 тыс.22 часа назад
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
JAKAYA KIKWETE azungumza na WASANII wa Bongo, awakumbusha kufanya jambo hili kubwa
Просмотров 1,5 тыс.22 часа назад
#jakayakikwete Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Zuchu kuachia album yake hivi karibuni? aweka ujumbe huu
Просмотров 1,1 тыс.22 часа назад
Zuchu kuachia album yake hivi karibuni? aweka ujumbe huu
Vituko vya mchekeshaji Tin White na Masantula kwa Ringo kabla ya harusi yake kufanyika
Просмотров 2 тыс.23 часа назад
Vituko vya mchekeshaji Tin White na Masantula kwa Ringo kabla ya harusi yake kufanyika
Roma awachana waliombeza Diamond na mafanikio yake, "mwana kajipata mpeni heshima yake"
Просмотров 10 тыс.23 часа назад
Roma awachana waliombeza Diamond na mafanikio yake, "mwana kajipata mpeni heshima yake"
Utapenda Unyama wa DIAMOND na ZUCHU kwenye Fashion, Tazama picha hizi
Просмотров 4,9 тыс.23 часа назад
Utapenda Unyama wa DIAMOND na ZUCHU kwenye Fashion, Tazama picha hizi
KENYA: Afanya maandamano kwa kupanda juu ya Magari ya Polisi akiwa na bango la kupinga FINCE BILL
Просмотров 13 тыс.23 часа назад
KENYA: Afanya maandamano kwa kupanda juu ya Magari ya Polisi akiwa na bango la kupinga FINCE BILL
ALIKIBA, NANDY, BILLNASS na MAUA SAMA waonekana AFRIKA KUSINI pamoja, kuna nini kikubwa kinakuja?
Просмотров 5 тыс.23 часа назад
ALIKIBA, NANDY, BILLNASS na MAUA SAMA waonekana AFRIKA KUSINI pamoja, kuna nini kikubwa kinakuja?
VIDEO: Hapa ndipo Harusi ya Davido na Chioma itafanyika leo, tazama mandhari na mapambo ya kuvutia
Просмотров 1,9 тыс.День назад
VIDEO: Hapa ndipo Harusi ya Davido na Chioma itafanyika leo, tazama mandhari na mapambo ya kuvutia
Mshukiwa mauaji ya 2 Pac kuachiwa kwa dhamana ya Bilioni mbili, atakuwa chini ya uangalizi Nyumbani
Просмотров 1,1 тыс.День назад
Mshukiwa mauaji ya 2 Pac kuachiwa kwa dhamana ya Bilioni mbili, atakuwa chini ya uangalizi Nyumbani
Utacheka Snoop Dogg alivyogeuka Mwanariadha, akimbia mita 200 tu majaribio ya Olyimpic Ufaransa
Просмотров 1,7 тыс.День назад
Utacheka Snoop Dogg alivyogeuka Mwanariadha, akimbia mita 200 tu majaribio ya Olyimpic Ufaransa
UWOYA atamani siku zingerudi nyuma asifanye aliyokuwa anayafanya, ni baada ya kuokoka,atoa neno hili
Просмотров 2 тыс.День назад
UWOYA atamani siku zingerudi nyuma asifanye aliyokuwa anayafanya, ni baada ya kuokoka,atoa neno hili
MASANJA awajibu waliouliza kuhusu Katibu baada ya kuweka picha hii akiwa na watoto wake na mkewe
Просмотров 6 тыс.День назад
MASANJA awajibu waliouliza kuhusu Katibu baada ya kuweka picha hii akiwa na watoto wake na mkewe
Nandy asimulia story ya msanii aliyetaka kumbania THT, alivyokutana na Zuchu kwenye shindano Nigeria
Просмотров 4,8 тыс.День назад
Nandy asimulia story ya msanii aliyetaka kumbania THT, alivyokutana na Zuchu kwenye shindano Nigeria
Chombo cha China kilichoenda upande wa mbali mwezini charudi na sampuli ya udongo
Просмотров 3,9 тыс.День назад
Chombo cha China kilichoenda upande wa mbali mwezini charudi na sampuli ya udongo
URUSI yatishia kuijibu MAREKANI kwa kuituhumu kuhusika na shambulio la CRIMEA, yamuita balozi wake
Просмотров 12 тыс.6 часов назад
URUSI yatishia kuijibu MAREKANI kwa kuituhumu kuhusika na shambulio la CRIMEA, yamuita balozi wake
Diamond awachana Wanaijeria ‘Wamejaa kwenye mfumo, hawawezi kufanya huu muziki’
Просмотров 17 тыс.6 часов назад
Diamond awachana Wanaijeria ‘Wamejaa kwenye mfumo, hawawezi kufanya huu muziki’

Комментарии

  • @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg
    @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg 4 часа назад

    Africa aikombolew na vibaraka Hawa one day yes,izi ni laaa. Za kina Jacob juma,ubaya ukizid macha huw kipofu

  • @elvisandago
    @elvisandago 4 часа назад

    You spoke rubish zakayo sarrender the office to GEN Z

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g 4 часа назад

    Safiii sana

  • @olivermuthoka5587
    @olivermuthoka5587 4 часа назад

    Huyu pia akasalimiwe kidogo

  • @helenkaimenyi5703
    @helenkaimenyi5703 4 часа назад

    Mr president listen to people these criminals put you into power

  • @user-gu3ez2if8k
    @user-gu3ez2if8k 4 часа назад

    Kenya wameruhus ushoga lzm wakubaliwe km tz tyuu

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 4 часа назад

    Wamnyooshe,, unahutubia kwa kiingereza ukiwa Afrika Mashariki

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 4 часа назад

    Ruto ana akili sana utaona maendeleo ya kenya katika afrika

  • @user-ku1rg7mr3i
    @user-ku1rg7mr3i 4 часа назад

    Naona urusi wanacheka tyuh

  • @milindiibrahim8285
    @milindiibrahim8285 4 часа назад

    Dj sma habari za geopolitics Drc-rwanda please

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m 4 часа назад

    Mpaka watu wamufe ndio utoke

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m 4 часа назад

    Umezoa kuuwa so we are coming for you

  • @JoshuaKioko-vg6le
    @JoshuaKioko-vg6le 4 часа назад

    We don't want to listen to nonsense . Innocent Kenyans fighting for their rights you can afford to call them criminals.Kenyans are not criminals.

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 4 часа назад

    Kazi ipo Kenya 😢😢

  • @JoshuaKioko-vg6le
    @JoshuaKioko-vg6le 4 часа назад

    We don't want to listen to nonsense

  • @mercyfuraha684
    @mercyfuraha684 4 часа назад

    Hii kiburi yake itamueka pabaya Kenya is bigger than him.The voice of the people should be heard .💪

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 4 часа назад

    Ruto hakubaliki tena Ili usalama wa nchi yake uwepo suluhu ni ujiuzulu Ili pawe na utulivu.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 часа назад

    Msomali ni msomali tu

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 4 часа назад

    Safari yako tiari bado siti samba kibaraka unaleta ukoloni

  • @JoshuaKioko-vg6le
    @JoshuaKioko-vg6le 4 часа назад

    UDA leadership should be accountable for the chaos.If they could have listened to the protesters before this mess could have happened.

  • @peterosieko2499
    @peterosieko2499 4 часа назад

    Ww hiyo kibuli yako itakutoa mamulakani

  • @JoshuaKioko-vg6le
    @JoshuaKioko-vg6le 4 часа назад

    UDA leadership should be accountable for the chaos.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 часа назад

    Huku😂kwetu jeshi anatunga album nzima

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 4 часа назад

    Simulimchagua wenyewe

  • @faithmutua77
    @faithmutua77 4 часа назад

    Pole sana

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 4 часа назад

    Ruto wakati yupo marekani ukimtusi.putin raisi wadunia.mashoga wamekudanganya umesaini ushoga,usagaji mungu anakuona kitumbua kinaingia mchanga.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 часа назад

    Huyu binti ni wanaume 100 mia ww dar

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 4 часа назад

    Wewe umeyatimba mwenyewe na sela zako za ulaya

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 4 часа назад

    Ukweli wanataka utumike Africa tu kuwaita viongozi wenye uchungu na Nchi zao Madikteta shenzi type

  • @IRENEIRENE871
    @IRENEIRENE871 4 часа назад

    Uyu sio binafamu jamani aki hana hata hofu

  • @siprianouma8762
    @siprianouma8762 4 часа назад

    Ruto hutatuongoza ngoja utanona mbwa wewe

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 4 часа назад

    Sikiliza wananchi wanataka nini vitisho havito saidia. Ndo fujo zitazidi kwa hayo mavitisho

  • @safitechnologies2000
    @safitechnologies2000 4 часа назад

    Lakini sisi tuna demokrasia😅😅

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 4 часа назад

    Ruto must go, vitusho havisaidii kitu watu wameamua safari hii.

  • @michaelomondi6221
    @michaelomondi6221 4 часа назад

    Roto plz hawa vijana c Raila wako wengi Sana na wakiamua utawauwa muchoke na watakungowa mwishoe so chunga sana

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 4 часа назад

    Hao nao amewalipa??wabongo acheni uduanzi😆😆

  • @MordenMachines
    @MordenMachines 4 часа назад

    He will regret his actions. But by then, it will be too late for him to fix things. Pride and arrogance has blinded both his eyes and mind of reasoning. Ruto is a disgrace to Africa not only Kenya

  • @victorkinyanjui7153
    @victorkinyanjui7153 4 часа назад

    You killed innocent unarmed kenyans..this time you will go down alone Infront of the all world..we vnt have a criminal president

  • @user-ju5pt9hp6j
    @user-ju5pt9hp6j 4 часа назад

    Hacha ujinga unatisia wakenya na uko apo juu ya kura yangu cool down dugu

  • @abelkingu4653
    @abelkingu4653 4 часа назад

    Hali ni mbay kwa mtazamo wa nchi za magharibi

  • @morrisfundi9992
    @morrisfundi9992 4 часа назад

    MamA mboga has turned to criminals

  • @eunicendunge7568
    @eunicendunge7568 4 часа назад

    Ruto must go,hata aseme nini

  • @samuelkalama-nr1ui
    @samuelkalama-nr1ui 4 часа назад

    Hustlers,si n watu wa bodaboda na mama mboga - wakakusikiza,ukaomba 100days ukapewa na zkaisha hehehe😂

  • @emmanuelmtalis1590
    @emmanuelmtalis1590 4 часа назад

    Hii sio amani tena 😢

  • @samuelkalama-nr1ui
    @samuelkalama-nr1ui 4 часа назад

    🤣🤣🤣🤣mkoko umealika maua kiwaramaba si mlisema n Rao anapenda maandamano?

  • @marykiarie6658
    @marykiarie6658 4 часа назад

    Isili imkuwa ya wasomalia ruto akiwa wapi na mnasema mko na president badala ya ifunguwe ni president wa somali anakuja kuifunguwa kube kenya imsaa usa😭😭

  • @halimasawa611
    @halimasawa611 4 часа назад

    Yuafikiria kenya n yake Ama babake😅😅😅 sis tuko tayr ruto unajifnya kiburi sio

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 4 часа назад

    Kwishaaa😂😂😂

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 4 часа назад

    Watu hawakupendi wewe

  • @annekage2733
    @annekage2733 4 часа назад

    Ruto stop threating the gen z they will put you down dont joke with this generation they will.come for you to state house step down step down zakayo